Halmashauri ya Mji wa Makambako yapewa siku 30 kuboresha upatikanaji wa dawa.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Festo Dugange ametoa muda wa siku thelathini kwa Uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako Mkoani Njombe kuhakikisha unafanya ukaguzi wa manunuzi na matumizi ya Dawa katika Kituo cha Afya cha Mji huo kwa kipindi cha miezi sita iliyopita ili kujiridhisha na malalamiko ya Wananchi ya ukosefu wa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed